Thursday, June 3, 2010

FURAHA

Kiafya, inashauriwa kutenga baadhi ya siku na kufurahi kwa pamoja kama walivyokutwa vijana hawa na mpiga kamera wetu

upashanaji habari

watanzania tunahimizwa kuenda na wakati kupitia vyombo vya habari kama ilivyoonesha kwenye picha

UTATA!

Siku za hivi karibuni kulitokea kizaazaa baada ya kijana aliyevaa kofia kutakakujua kiundani namna pesa yake ilivyotumika katika shughuli iliyokuwa inawahusu vijana hawa wawili