Wednesday, June 2, 2010

Mlimani City

miongoni mwa shoping centre maarufu jiji Dar es salaam linalouza bidhaa kutoka nje ya nchi kwa wingi hapa nchini

Morogoro

ijapokuwa tunavivutio vingi vya utalii, undelezaji wa vivutio hivyo umeachwa na kufanya kuwa mapango ya wezi na majambazi, Bazil. B. (morogoro)

zimamoto

am
kukosekana kwa ajali za moto kwa muda mrefu katika jiji la moshi kumesababisha uchakavu wa huduma hii kama inavyoonekana kwenye picha.