Kiafya, inashauriwa kutenga baadhi ya siku na kufurahi kwa pamoja kama walivyokutwa vijana hawa na mpiga kamera wetu
Thursday, June 3, 2010
UTATA!
Siku za hivi karibuni kulitokea kizaazaa baada ya kijana aliyevaa kofia kutakakujua kiundani namna pesa yake ilivyotumika katika shughuli iliyokuwa inawahusu vijana hawa wawili
Wednesday, June 2, 2010
Mlimani City
miongoni mwa shoping centre maarufu jiji Dar es salaam linalouza bidhaa kutoka nje ya nchi kwa wingi hapa nchini
Morogoro
ijapokuwa tunavivutio vingi vya utalii, undelezaji wa vivutio hivyo umeachwa na kufanya kuwa mapango ya wezi na majambazi, Bazil. B. (morogoro)
zimamoto
am
kukosekana kwa ajali za moto kwa muda mrefu katika jiji la moshi kumesababisha uchakavu wa huduma hii kama inavyoonekana kwenye picha.
Subscribe to:
Posts (Atom)